UNALIONAJE HILI LA TECHNOLOJIA



 Teknolojia ya kupandikiza kadi ndogo kwa lengo katika mwili wa binaadamu kudhibiti wizi wa kimtandao imevuta hisia za watu wengi katika maonyesho ya Teknolojia ya Mawasilano ya CeBIT ya mjini Hannover.


 Kunafanyika upasuaji mdogo kisha unawekewa"chip" ndani ya kidole inayokuwezesha kupata huduma muhimu za kibenki, kufungua milango na hata kuongoza nyenzo nyingine za kidijitali.


Na DW SWAHILI

Comments

Popular posts from this blog

FAHAMU NA ZITAMBUE TOFAUTI KATI YA IPHONE ORIGINAL NA CLONE

ONGEZA KASI YA PC YAKO

IFAHAMU SIM YA TECNO C8