Posts

Showing posts with the label fake and otiginal

KABLA YA KUNUNUA SAMSUNG GALAXY FANYA HAYA

Image
Wengi wetu tumekua tukipenda kununua sim mikononi mwa watu {second hand} kutokana na unafuu wa bei. ila kumekua na ulaghai na utapeli hasa kwa wale wasiojua kutofautisha kati ya sim original na fake. Leo nitazungumzia sana sim za samsung, kwani ndio zimerindima humo mitaani mwetu.

FAHAMU NA ZITAMBUE TOFAUTI KATI YA IPHONE ORIGINAL NA CLONE

Image
FAHAMU NA ZITAMBUE TOFAUTI KATI YA IPHONE ORIGINAL NA CLONE IPhone ni moja ya gadgets maarufu katika soko. Hii imethibitishwa na mauzo kuongezeka na pia ubora wa bidhaa kua maintained. pia IPhone inazidi kua maarufu kutokana na perfomance na pia heshma anayopata mtumiaji wa sim hii. Apple wameitengeneza iphone ikiambatana na several apps ambazo zitakusaidia on your daily basis. IPhone mpya kawaida gharama karibu $ 699. inaweza kuonekana kidogo ghali, lakini watu wengi huamini kuwa  thamani ya fedha na bidhaa wanayopata vinaendana. Kutokana na hili basi hata wazalishaji wa sim fake kutumia mgongo wa Apple kupitisha bidhaa zao sokoni.